Selfika na JF: Snap it. Show it

Wananipigia wapi wakati ni dakika 4 tu kutoka kanisani hadi nyumbani

All in all hii Biblia ikipotea nitalia sana.
Ina zaidi ya miaka 10 mikononi mwangu.
Hongera umeitunza
Mimi kuna biblia nimeichukua kwa mtu sasa ina miaka kumi na sita ..naipenda ina mafundisho mazuri kuhusu ndoa na mahusiano kiujumla .
 
Hongera umeitunza
Mimi kuna biblia nimeichukua kwa mtu sasa ina miaka kumi na sita ..naipenda ina mafundisho mazuri kuhusu ndoa na mahusiano kiujumla .
Nilikabidhiwa Biblia kubwa rasmi nilivyoenda shule secondary .
Huku nyuma nilikuwa natumia Biblia ndogo almaarufu kama Agano jipya.. ensign hizi za Sunday school.

Hongera pia,itunze.

Mimi ni heri nimpe mtu hela akanunue Biblia ila siyo kumpa Biblia yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…