Selfika na JF: Snap it. Show it

Huku tuko poa, bado nipo kwa majukumu.

Hahahaa halaf huwez amini mwenyew sijawah bahatika kabisa japo hua natamani nirudi home ila ndio sijui nakwama wapi.
Naishiaga kwa wengine huko[emoji1787][emoji1787]
Kuna haja ya kufanya kikao mimi na wewe ili tulijadili hili suala kwa marefu na mapana yake bageshi [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mbususu zilivyotapakaa hivi ndio wamefikia hiyo stage [emoji2] hatari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…