Selfika na JF: Snap it. Show it

Uponyaji uwe juu yako kamandaView attachment 2202264
Bageshiii


Halafu sijui kwa nini nina bahati mbaya na akina bageshi. Hili suala huwa silielewi kabisa yaani. Nilishajaribu kwa Minza wa Nyangokolwa nikapigwa chini. Nkwaya wa Ng'wamoto napo yale yale. Kundi wa Somanda down. Milembe wa Dutwa pale hakuna kitu. Njille wa Bugando napo hakuna. Hata Nchama wa Alabama nako yale yale. Kuna tatizo gani kati yangu na hawa akina bageshi?

Wigelekelo na T 1990 ELY mje mnipe muongozo kwa kweli. Huwa mnafanyeje ili kuwapata akina bageshi wetu?
 
Bageshi jamani😅😅😅
Umenifurahisha ujue

Umeamkaje lakini bageshi
 
Mimi niko poa bageshi...

Natumaini hata nyie hamjambo huko. Nawasubiri hao akina ngosha waje kunipa mwongozo hiyo ishu yangu
Huku tuko poa, bado nipo kwa majukumu.

Hahahaa halaf huwez amini mwenyew sijawah bahatika kabisa japo hua natamani nirudi home ila ndio sijui nakwama wapi.
Naishiaga kwa wengine huko🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…