Binadamu hawawezi kuacha kuongea ,wataongea kisha baadae watakaa kimya .. unapotezea tu maadam unajua nini unafanya .It is very good for your mental health sema tu ndo tegemea kusemwa - unajiona, unaringa, moody, hupendi ushirikiano, unajitosheleza etc....
Morning Salimeti ππ mimi sina usemiiKuna kamsemo eti kwamba Mungu Aliondoka na udongo wote kutoka Kaskazini halafu akaenda kuumalizia huko Kusini. Sijui hata kamsemo haka kana maana gani ila Wanyaki nyie mmebarikiwa hatari!
Goodnight soulimeti
Not cool bro....not cool AT ALLMfaranyaki kwa wafaranyaki wa kusini.
Anyway. Everything happened for a reason and that reason has meaning and the meaning need understanding.
Poleni sana wote mnaoumwa. Dawa ni nyingi.View attachment 2201993
Usemi utoke wapi sasa soulimeti wakati kila kitu ni self explanatory?Morning Salimetimimi sina usemii
Sasa sie wa kusini tumekukosea Nini sijapendaKuna kamsemo eti kwamba Mungu Aliondoka na udongo wote kutoka Kaskazini halafu akaenda kuumalizia huko Kusini. Sijui hata kamsemo haka kana maana gani ila Wanyaki nyie mmebarikiwa hatari!
Goodnight soulimeti
Na wewe ni Mnyaki?Sasa sie wa kusini tumekukosea Nini sijapenda
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Vipi hali ya koo???Asante Hata nami naumwa koo limekauka mbaya zaidi nikimeza mate π¬
Sio mnyaki mm wale wa sura ngumu na shape za kuungaungaNa wewe ni Mnyaki?. Basi kila mwanamke hapa JF ni Mnyaki. Ai givapu!
Yeah! Mungu alimalizia udongo wote huko kwenu...na slogan ni ile ile: ogopa matapeli. Hakuna binti wa Kinyaki ambaye hana li/kishundu
Naumwa leo
Aaa wapi!Sio mnyaki mm wale wa sura ngumu na shape za kuungaunganaona tulikuwa udongo wa mwisho mwisho
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
πππ yani kila nikiingia humu nakuta nimepitwa na mengi.tamsana nimekuona mkuu bado nasubiria selfii yako hapa ujue!π Shimba Ya Buyenze yeye gado mwaka mpya ndio anaselfikaga kwenye ule mkesha
hahahaaa..uwe unachungulia chungulia mida mida mkuu! Nasubiria yako uliniahidi tangu juzi Naona jana hujaenda mazoezini!πππ yani kila nikiingia humu nakuta nimepitwa na mengi.
Absolutely granddaughter, Babu yako ana kiu πππUsiwaze babu... vipi nikuletee now now???
Jamaa haamini kitu kizito alichopigwa nacho ππππMfaranyaki kwa wafaranyaki wa kusini.
Anyway. Everything happened for a reason and that reason has meaning and the meaning need understanding.
Poleni sana wote mnaoumwa. Dawa ni nyingi.View attachment 2201993
Miye poa Boss Lady....Amen amen shukrani sana nawe pia uwe Sana wakati mwema ! msukuma.huku sasa ni asubuhi! Tumeamka salama kabisa!
U hali gani weye??
Relaxxx! leo jioni mapema sana utaniona babuu!Absolutely granddaughter, Babu yako ana kiu πππ