Mbaya zaidi kila Siku binti wa kazi anafujafuja vyakula TU anapika mavyakula kibao yanabaki yanamwagwa tu... si
nikamuambia dogo maisha magumu vitu vimepanda bei hatari hii tabia yako ipo siku nitawalaza njaa si leo nimeshikilia usukani jikoni kila kitu nimepima eti chakula kikawa balanced...alichonifanyia mgeni sasa
!!