Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Mimi nilianza safari ya kwenda pm nilipoanza kuona mapicha picha mengine nikapotezea.
Kiufupi msela kazingua sana why ajifanye manzi wakati ni msela watu wakimquote anajibu na makopa kama manzi huyu jamaa adhabu yake tutaijadili kilingeni.
Kiufupi msela kazingua sana why ajifanye manzi wakati ni msela watu wakimquote anajibu na makopa kama manzi huyu jamaa adhabu yake tutaijadili kilingeni.
Msubhateeee.... Nimeumia sana bahharia wangu... Bado nikiangalia hii picha siamini kama ulikuwa unanilisha matango poriiiiii
View attachment 1249999







