Wana selfika hivi Mtu akiweka screenshot hapa atapigwa ban??? Mie sipendagi maneno mengi Huwa naongea kidogo ila ni Mtu wa ku act sana! Naombeni mwongozo kwanza bado naipenda jf!
Mjomba mimi sina bahati na mafundi wa kushona kabisa,ndio maana sipendi nguo za kushona sana maana huwaga wananitolea mifuko ya mashine sasa sijui ni hii namba tisa?
Mjomba mimi sina bahati na mafundi wa kushona kabisa,ndio maana sipendi nguo za kushona sana maana huwaga wananitolea mifuko ya mashine sasa sijui ni hii namba tisa?