Mara paaah umenasa kwenye ulimbo wake nakwambia sijawahi kuandika uzi Jf ila nitaufungua kwa ajili yako humo naweka na ushahidi kabisa wa screenshot jinsi ulivyokuwa unashangaa wenzio๐ฌ๐๐๐๐
Mara paaah umenasa kwenye ulimbo wake nakwambia sijawahi kuandika uzi Jf ila nitaufungua kwa ajili yako humo naweka na ushahidi kabisa wa screenshot jinsi ulivyokuwa unashangaa wenzio๐ฌ๐๐๐๐
Yaani ile jam,Bora hata mtu kama huijui.
Ila wanasema mamba hatukanwi kabla hujavuka mto na mapenzi ni upofu ila Kuna watu aiseeee ...wanaweka hadi pamba machoni.
Yaani ile jam,Bora hata mtu kama huijui.
Ila wanasema mamba hatukanwi kabla hujavuka mto na mapenzi ni upofu ila Kuna watu aiseeee ...wanaweka hadi pamba machoni.
Yaani ile jam,Bora hata mtu kama huijui.
Ila wanasema mamba hatukanwi kabla hujavuka mto na mapenzi ni upofu ila Kuna watu aiseeee ...wanaweka hadi pamba machoni.