Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,837
Mfano hapo nilikuwa shambani napalilia zangu Mahindi, nashangaa inapita juu ya kichwa Cha Mzee miye, kweli hatuna jinsi Wacha tufanye kazi tu [emoji2957][emoji2957]
Pasaka Njema Mkuu Shimba Ya Buyenze
Karibu huku Kijijini kwetu, kesho nitachinja Kondoo kufurahia Pasaka yangu, kama mpenzi wa Kuku, atakwepo kwaajili ya wageni.
Hapana nkamu 😂😂😂😂😂Naona unaendeleza manyanyaso dhidi yangu nkamu😂
Mwee Nkamu huna huruma [emoji23]Hapana nkamu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchoyo hana rafiki
Unajua mambo ya kufanya kazi na Wakoloni hayo. Pamoja na kutufundisha kazi ya Umesenja, na uvaaji walikuwa wanatufundisha hasa ikitokea Kuna sherehe nyumbani Kwa Malikia [emoji87][emoji2957][emoji125][emoji125]
Mwasi Kitoko[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
View attachment 2189625
[emoji56][emoji56]View attachment 2189717
Wabeja (Asante!)Mwasi Kitoko
Mwema
Mwaki
Mwandu
Mwinyi
Mwaka*
Mwisho
Mwele
Mwumwu
Mwote
Mwesii
Mwoga
Mwakifamba
Mwalimu
Mwanyelwa
Mwamakula
Mwakyembe
Mwaba*
Wadau wataongezea...
Hayo yenye nyota ni uhakika kutoboa. Trust me!
Kuwa mpole,subiri Idd wanavyojuaga kuhangaika sasa[emoji23]Mwe mwe mwe mpaka sasa bila bila ndugu zangu katika imani upande wa pili ni wachoyo[emoji1495][emoji1495][emoji1495]
Nafunga vioo 😬😬Kuwa mpole,subiri Idd wanavyojuaga kuhangaika sasa[emoji23]
Ikifika mwezi 25 na log out Jf,
Kuanzia leo washaanza kupoteana humu,,hapa hadi j,4 utawaona[emoji41]Nafunga vioo [emoji51][emoji51]