Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbee hujaona toka jana jamani...

Nilimuomba toka juzi anifundishe mapozi ya kusimama akanikaushia kabisaa jamani, comment zangu kama hazioni...

Jana usiku ndo kinabuma, jamaa ni dume
 
niliona ila nilikuwa na wenge la usingizi kwahiyo nikawa napita kwenye likes tu kama mkuu mkwepu jr
Kumbee hujaona toka jana jamani...

Nilimuomba toka juzi anifundishe mapozi ya kusimama akanikaushia kabisaa jamani, comment zangu kama hazioni...

Jana usiku ndo kinabuma, jamaa ni dume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…