watoto wa kishua walio amua kupindaa.. huwa wanapinda kweli.. maana wanafanya hivyo wakijua wana backup.. pia kwenyr ku present vipindi unatamani asimalize
Ni kweli kabisa,Saigon ndio lead rapper wa diplomatz,halafu ndio anafuata balozi na stiggo...msikilize kwenye nyimbo aliyoshirikiana na Tid inaitwa viwanjani ...
Ni kweli kabisa,Saigon ndio lead rapper wa diplomatz,halafu ndio anafuata balozi na stiggo...msikilize kwenye nyimbo aliyoshirikiana na Tid inaitwa viwanjani ...
Ila sasa hivi ime move sana kutoka kwenye ubabe hata wa kuhatarisha maisha hadi ujivuni wa pesaaa.. sasa hivi wamehamia huko nani ana mpunga mrefu zaidi
watoto wa kishua walio amua kupindaa.. huwa wanapinda kweli.. maana wanafanya hivyo wakijua wana backup.. pia kwenyr ku present vipindi unatamani asimalize