Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Nimetamanii
napenda sana njegereNimetamanii
napenda sana njegereNapenda njgere balaaNimetamaniinapenda sana njegere

Umeweka nazi??Napenda njgere balaa![]()
Mambo!!!Oyee![]()
Nmeamshwa na masimu ya wakeshajiHulali
nilishalala yaaniYaani nikikaa jikoni kupika njegere kama ni nusu zitatoka roboNapenda njgere balaa![]()

JamaniNdiyo na nazi
Na mafuta naona hazichangamki


naweza ingia kwene sahani kabisa utamu wake ni balaaWewe ukikaa na mimi nitakua nazipika mwenyewe usimalizie jikoniYaani nikikaa jikoni kupika njegere kama ni nusu zitatoka robo
Maana nikishazichemsha tu,napenda kuzila bila kuunga wala chumvi aisee tamu


Nmeamshwa na masimu ya wakeshajinilishalala yaani
Jukwa la mkesha lipo kuleWewe ukikaa na mimi nitakua nazipika mwenyewe usimalizie jikoni![]()



njegere unaniachia mie,,maharage unapika mwenyewe
Hapana, wewe utamaliza nshakuonanjegere unaniachia mie,,maharage unapika mwenyewe
![]()

Fanya Fujo Uone!
Siyo baharini tu. Hata huko kwa mitume na manabii wenye hela kamwe hawaguswi na majini wala mapepo; na hata wakikaa pale mbele kabisa karibu na madhabahu ni nadra sana kuona wameanguka nabii akichochea moto wa maombi


