Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,144
Uje without kabisa... incase of emergency tusipoteze muda. Sawa enh?Nitakuja tuangalie wote
WaafrikaCha wachaga!
Safi sana.
Mshana si ndio alisema hamna kuonesha kitambiMbona sikioni kitambi?
Umerudisha tumbo ndani?
Kwahiyo sote tumekubaliana hii ni picha ya kudownload ama?
Paroko ametoa neno gan leo....Mie nilienda misa ya kwanza.
Naaaam mkuu.Nimeshakujua kumbe ndo we ulikua umekaa mbele yangu..
Hapo sasa.Anajifanya hajui.
Nimegundua huku watu wengi ni wanene na mashape yao.





Hapana. Ona sasa haujaonesha kitambi Atoto ataanza kusema hauna hela.Mshana si ndio alisema hamna kuonesha kitambi
Mbona unabadilika kutokana na mazingira mpenzi
Ndio hivo dear![]()





