Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Tanga kunani Tanga! Nasikia mtu akinasa hachomoki🤸🤸🤸🤸😜😜😜🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️Dar to Tanga hiyo kipenzi
Tanga kunani Tanga! Nasikia mtu akinasa hachomoki🤸🤸🤸🤸😜😜😜🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️Dar to Tanga hiyo kipenzi
hahahaaa.. wengine tunaiga tu yule dogo Ndio chairwoman!!Ila wajomba wa humu jamani wote mnageuka wapambe![]()
Wacha mkuu unapata ujasiri kama kuongeza lot size vile 😂😀😀😀 wa hivi wazuri sana.. usipo kuwa makini ndani unapoteza pambano dk 0.5.. unakuwa na shauku ya nini kipo ndani kuliko kile wakiona daily kama unajua unajua tu
😀😀😀😀 una add tu.. upepo ukichange unachoma accountWacha mkuu unapata ujasiri kama kuongeza lot size vile 😂
Sijui nani kamuiba babe wangu!Anepotea sana ukimuona mwambie namtafuta sana!
Sasa unanikaanga Bella...ni motivation Tu jukwaa lisogeeIla wajomba wa humu jamani wote mnageuka wapambe![]()
👷♂️👷♂️👷♂️ hajaaga itakuwa nimekula kibuti tayari..[mention]Nuzulati [/mention]nasikia hujamuaga mume sasa mbona unataka kutukosesha pilau tena? Hii tabia umeanza lini?
Atakua bize na majukumu tu Mkuu usipende kuwaza negativities sana utajikosesha amani na furaha buree!!Sijui nani kamuiba babe wangu!
Hili jaribu hakika...ntatiririka balaa😬😀😀😀Nambie nitatoa
Nimekupata Madam acha niamini yupo busy!Atakua bize na majukumu tu Mkuu usipende kuwaza negativities sana utajikosesha amani na furaha buree!!
Siri ya kuishi maisha marefu, mbali na mibaraka na huruma za Mungu, ni kuwa na furaha. Unakuwaje na furaha?babuu mzee.. uzuri tunaona hekima zako na life style lako.. lazima uishi maisha marefu..
Shangazi shangazi fanya jambo nasubiri usingizi umeisha sasaIla wajomba wa humu jamani wote mnageuka wapambe![]()
😍😍😍dah! na mie Tanga to Dar to moro to dodoma to singida to shinyanga to chato to mwanza to pasipojulikana 😀😀😀
Aisee boss ledi naona nafsi yangu iliitikia wito wako. Maana nimepost ndiyo nakuja kuangalia notifications, nakuta umeniita. I missed you too dears; nipo sasa.Mama mchungaji Heaven Sent tunakumis sana Selfika..... tumemis mishono mizuri mattatta sana hukuu!!
Sasa unanikaanga Bella...ni motivation Tu jukwaa lisogee
Mkuu hapo unabidi moyo wako usukume damu 😄Nimekupata Madam acha niamini yupo busy!
Nakubaliana na wewe mkuu. Mungu mwema kila wakati.. kuna mambo tunajifunza hapo kupitia reflection yakoSiri ya kuishi maisha marefu, mbali na mibaraka na huruma za Mungu, ni kuwa na furaha. Unakuwaje na furaha?
- Ishi maisha yako halisi na kamwe usijaribu kujilinganisha na mwingine kwa sababu kila mtu amebarikiwa kivyake. Daima kutakuwa na watu wanaokuzidi na unaowazidi.
- Shukuru kwa ulichonacho hata kama ni kidogo namna gani...na ishi katika matumaini.
- Stay connected to the source - Mungu or whatever you believe in. Hapo ndipo nguvu zako zilipo. Ukijitenga na nguvu hizo umekwisha.
- Usiwe na roho ya kichawi. Furahia mafanikio ya wengine. Ukiona vijana wadogo tu wanasukuma ma Jaguar na ma RR na wewe huna, usikabwe na wivu bali furahia mafanikio yao. Katika furaha hiyo ndimo kuna furaha yako pia.
- Usipende kuumiza watu wengine (kimwili na kisaikolojia) bila sababu lakini pia usikubali kuumizwa bila sababu.
- Saidia wengine - hata kama ni kwa maneno tu ya kutia moyo au kujitolea nguvu na muda wako. Hakuna kitu kinacholeta furaha ya kweli kama kuweka tabasamu na tumaini katika moyo uliopondeka na uso uliojaa huzuni. Nenda mahospitalini huko. Ongea na wagonjwa usiowajua. Wape matumaini. Kwenye ma-orphanages huko...na magerezani...
- Be simple and humble...na jaribu sana kuwa msuluhishi na siyo mtenganishaji. Jitahidi uwe ndiyo nta inayoileta pamoja familia yenu na siyo kuisambaratisha...
- Linda afya yako. Daima kinga ni bora kuliko tiba. Magonjwa yanayozuilika kwa kubadili mfumo wako wa maisha, hakikisha hayakupati
- Take care your family. Love them dearly because when it is all said and done; and you are laying down on your deathbed - ready to take your final breath, it is your family that will be there....
#BusarazaWahenga
Mi nam-miss Saint Anne. Ukitupia kakitu halafu akiwepo dah! Uzi huwa unachangamka kweli kweli!Mama mchungaji Heaven Sent tunakumis sana Selfika..... tumemis mishono mizuri mattatta sana hukuu!!