Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,433 Mar 30, 2022 #172,341 Lenie said: Limeisha hilo... Depal njoo unione na short hair View attachment 2169420 Click to expand... Bageshi ......
Lenie said: Limeisha hilo... Depal njoo unione na short hair View attachment 2169420 Click to expand... Bageshi ......
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,709 Mar 30, 2022 #172,342 Depal said: Natamabua uwepo wako babu mzuri Grahams Click to expand... Fanya utaratibu unitumie Miwani mjukuu, napata shida sana kusoma magazeti tangu Ile ya awali ivunjike π€ͺπ€ͺπ
Depal said: Natamabua uwepo wako babu mzuri Grahams Click to expand... Fanya utaratibu unitumie Miwani mjukuu, napata shida sana kusoma magazeti tangu Ile ya awali ivunjike π€ͺπ€ͺπ
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,343 Simara said: ha ha ha hatuwezi kukipaka mate kwanza tunakula kistaarabuu Click to expand... msije mkawa kula hadi muweke apron kwanza πππ
Simara said: ha ha ha hatuwezi kukipaka mate kwanza tunakula kistaarabuu Click to expand... msije mkawa kula hadi muweke apron kwanza πππ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 30, 2022 #172,344 Shimba Ya Buyenze said: Bageshi ...... View attachment 2169533 Click to expand... Wabeja sana bageshi... Uhali gani bageshi
Shimba Ya Buyenze said: Bageshi ...... View attachment 2169533 Click to expand... Wabeja sana bageshi... Uhali gani bageshi
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,345 Lenie said: Eeh acha tu usiseme mengi, naelewa unayopitia kama kijana tuna changamoto nyingi. Me naomba nikutie tu moyo, tutayavuka haya ni swala tu la muda. Click to expand... πππ sema tupia ka mwisho ka muagano kabla Boss ajaja kunifurusha hapa niende getini
Lenie said: Eeh acha tu usiseme mengi, naelewa unayopitia kama kijana tuna changamoto nyingi. Me naomba nikutie tu moyo, tutayavuka haya ni swala tu la muda. Click to expand... πππ sema tupia ka mwisho ka muagano kabla Boss ajaja kunifurusha hapa niende getini
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,433 Mar 30, 2022 #172,346 Wanyaki njooni tule
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,347 Nuzulati π·ββοΈ
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,348 Shimba Ya Buyenze said: Wanyaki njooni tule View attachment 2169538 Click to expand... Dah! nyama na majani hayo.. yameamsha miguu ikasake mlo
Shimba Ya Buyenze said: Wanyaki njooni tule View attachment 2169538 Click to expand... Dah! nyama na majani hayo.. yameamsha miguu ikasake mlo
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,433 Mar 30, 2022 #172,349 Lenie said: Wabeja sana bageshi... Uhali gani bageshi Click to expand... Mimi sijambo nkoyi. Natumaini hata huko kwako ni kwema pia. Msalimie sana dada yangu na shemeji; na wapendwa wote
Lenie said: Wabeja sana bageshi... Uhali gani bageshi Click to expand... Mimi sijambo nkoyi. Natumaini hata huko kwako ni kwema pia. Msalimie sana dada yangu na shemeji; na wapendwa wote
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,433 Mar 30, 2022 #172,350 9.8ms squared said: Dah! nyama na majani hayo.. yameamsha miguu ikasake mlo Click to expand... Unakwenda kwa miguu au unaiamsha RR?
9.8ms squared said: Dah! nyama na majani hayo.. yameamsha miguu ikasake mlo Click to expand... Unakwenda kwa miguu au unaiamsha RR?
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 30, 2022 #172,351 Shimba Ya Buyenze said: Wanyaki njooni tule View attachment 2169538 Click to expand... Me nyama tu hapo
Shimba Ya Buyenze said: Wanyaki njooni tule View attachment 2169538 Click to expand... Me nyama tu hapo
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 30, 2022 #172,352 Shimba Ya Buyenze said: Mimi sijambo nkoyi. Natumaini hata huko kwako ni kwema pia. Msalimie sana dada yangu na shemeji; na wapendwa wote Click to expand... Huku Mungu ni mwema. Zimefika sema wanakumiss sana, wanaulizia utakuja lini
Shimba Ya Buyenze said: Mimi sijambo nkoyi. Natumaini hata huko kwako ni kwema pia. Msalimie sana dada yangu na shemeji; na wapendwa wote Click to expand... Huku Mungu ni mwema. Zimefika sema wanakumiss sana, wanaulizia utakuja lini
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,353 Shimba Ya Buyenze said: Unakwenda kwa miguu au unaiamsha RR? Click to expand... hapa ni mwendo wa ngoko tu.. nakuwa nakutana na watu wazuri wazuri wanafanya zoezi ndio raha yake.. mie bado nipo na ka jaguar kangu.. ingawa soon nina upgrade kabla ya mwezi wa sita.. maana naona mashamba yangu yameiva safi sana
Shimba Ya Buyenze said: Unakwenda kwa miguu au unaiamsha RR? Click to expand... hapa ni mwendo wa ngoko tu.. nakuwa nakutana na watu wazuri wazuri wanafanya zoezi ndio raha yake.. mie bado nipo na ka jaguar kangu.. ingawa soon nina upgrade kabla ya mwezi wa sita.. maana naona mashamba yangu yameiva safi sana
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,354 Lenie said: Me nyama tu hapo Click to expand... Njoo basi tukale mahala pale Uzunguni ila usimshutue Depal maana anakula kama ana matumbo manne
Lenie said: Me nyama tu hapo Click to expand... Njoo basi tukale mahala pale Uzunguni ila usimshutue Depal maana anakula kama ana matumbo manne
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,355 Lenie said: Sasa na wewe inabidi utupie hata bible verse, nipate upako wa jion kabla giza halijatanda kwenye uso wa nchi View attachment 2169551 Click to expand... Ewaaaaa... ππππ.. perfect
Lenie said: Sasa na wewe inabidi utupie hata bible verse, nipate upako wa jion kabla giza halijatanda kwenye uso wa nchi View attachment 2169551 Click to expand... Ewaaaaa... ππππ.. perfect
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 30, 2022 #172,356 9.8ms squared said: Njoo basi tukale mahala pale Uzunguni la usimshutue Depal maana anakula akama ana matumbo manne Click to expand... πππ mbona anakulaga vzuri, unamuonea. Twende lini sasa niandae njaa π
9.8ms squared said: Njoo basi tukale mahala pale Uzunguni la usimshutue Depal maana anakula akama ana matumbo manne Click to expand... πππ mbona anakulaga vzuri, unamuonea. Twende lini sasa niandae njaa π
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,433 Mar 30, 2022 #172,357 Lenie said: Huku Mungu ni mwema. Zimefika sema wanakumiss sana, wanaulizia utakuja lini Click to expand... Waambie wanakaribishwa sana Misungwi anytime
Lenie said: Huku Mungu ni mwema. Zimefika sema wanakumiss sana, wanaulizia utakuja lini Click to expand... Waambie wanakaribishwa sana Misungwi anytime
Nuzulati JF-Expert Member Joined Nov 25, 2020 Posts 10,675 Reaction score 39,101 Mar 30, 2022 #172,358 Mmh π€
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Mar 30, 2022 #172,359 Lenie said: πππ mbona anakulaga vzuri, unamuonea. Twende lini sasa niandae njaa π Click to expand... πππ kula vizuri plate tatuuu π€£π€£π€£ hapa inanoga j. mosi kesho na kesho kutwa wacha tushughulikie ya kaisar
Lenie said: πππ mbona anakulaga vzuri, unamuonea. Twende lini sasa niandae njaa π Click to expand... πππ kula vizuri plate tatuuu π€£π€£π€£ hapa inanoga j. mosi kesho na kesho kutwa wacha tushughulikie ya kaisar
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Mar 30, 2022 #172,360 Shimba Ya Buyenze said: Waambie wanakaribishwa sana Misungwi anytime Click to expand... Asantee sana bageshi, tutakaribia soon
Shimba Ya Buyenze said: Waambie wanakaribishwa sana Misungwi anytime Click to expand... Asantee sana bageshi, tutakaribia soon