Nilikuwa napaka kote Vaseline yangu
Nikinunuaga kopo kubwa basi Mungu anipe nini tena.
Miaka yote nikikuwa napaka hayohayo ..
Duh,nilivyokuja sehemu ya joto ndo mshike mshike huu ukaanza.
Itabidi niachane sasa na Vaseline yangu
.
Ushauri Kwa wanawake;
Kwa wadada ,wamama,Mabinti
wanaotaka kumaintain hali za shepu za mtindi
..then Vaseline is the best.