Wapi hii mzee..? Umenikumbusha matukio mawili.. moja koboko hapa na hapa akaniachia ilikuwa polini.. nyingine ilikuwa dubwasha kama hili sema nilikuwa kwenye gari.. ilikuwa noma sanaaa
kumbe mmeonaa!!!
Wanaelewa na tunaelewana sana tu na madenti!!ni Mimi enzi Niko kibonge hapoo!!yaani Mimi mwaka juzi December to Jana mwanzoni nilifanya ya nguvu kupunguza mwili na mpk Leo haujarudi tena.