Wameshamuharibu lect wao, hajui namna ya kutongoza anabaki tyuuh, "mie namuelewa yeye anajua tangu mda" anajua nn wee funguka mazima mtoto akuelew, daaaah
Wameshamuharibu lect wao, hajui namna ya kutongoza anabaki tyuuh, "mie namuelewa yeye anajua tangu mda" anajua nn wee funguka mazima mtoto akuelew, daaaah
Walianza Manchester utd juzi kati kuimba wimbo wake.
Walipofungwa,Mpira ulivyofika dakika za mwisho;Kuna jamaa akasema man u inukeni muanze kuimba wimbo wa Abiudi
"Teenda muujiza
Teenda muujiza
Usiache Bwana
Mwaka huu upite
Bila ku teeenda muujiza"
Alikuwa ameandika kwa kuivuta hiyo tenda kama anaomba vile.
Nilicheka nilitaka kupasuka.