Selfika na JF: Snap it. Show it

kwenye kula sijawahi kujibana, had naambiwa mbna sinenepi, naishia kujibu wembamba ndo mwili wangu, huku kwikwi kwa mbali, n huzuni woiiiiiiiiih
Yani mimi nilikua nakula Jamani yani nakula mpaka najiogopa..sasa nilinenepa sana nikaanza kuchambwaaa uuwii naulizwa wee mwanamke huu mguu wa binadamu wa tembo! Mi najichekea tu
!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…