Selfika na JF: Snap it. Show it

wanataka uwarudishie capital yao waliotumia kuongea na wewe
Mimi ndio nilikuwa nawapigia

Ila walikuwa wananirahisishia kazi wanakata wao wenyewe.
Wakikata sasa..yule niyemuweka conferen d ananiambia ehee mpigie tena mwingi ne tumsikie

Napiga..namwambia sasa huyu amesema hivi..anasema mwambie atume hela..anakata simu

Nampigie mwenzie naye anasema yake
Yaani nimeenda nao hadi mwisho...

Eti yule anayejidai babu anasema yaani mwanangu saa nzima tunaongea..nipeni ya vocha basi

Rafiki yangu akasema mwenzio katutukana...tungekupa japo ya maji

Huyo mwenzie anazidi kutukana..kumbe yanakaaga sehemu moja
 
akaaaahhh!hivi wako serious hao vichaa mweehh yaani ningecheka balaa..nilijua wataishia matusi tu hao...wanaomba vocha baada ya matusi kenge hao..wiki ilopita nilitumiwa meseji kama hyo ya mrengo hukoo!akasema yeye hawezi piga maana simu yake maiki mbovu hatutasikilizana ,nkamtumia SMS nkamuambia huyo mjomba ako mwenye pesa za biashara muambie akupe utengeneze simu kwanza then ndo afanye biashara na Mimi asoniju..maana alisema mjomba ake tajir kuna business anataka afanye inamlipa hvyo aniunganishe nae!
Hawa matapel sasa
mwee

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mmoja anaomba vocha..mmoja ashapanic anatukana..sisi tunacheeeeka
Rafiki yangu anamwambia kwahiyo mlijua mmeshaiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…