Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo hata mimi nakutetea, mwanaume unatakiwa uwe hardcore sio kuonyesha madimples na kulamba lips.
Kabisa..Alafu Mimi ni hip hop simaindigi hizo mambo za kulamba midomo..Nina pigo za Fido Vato
Atakusamehe tu ngoja ashibe lunch
Kwanza Depal ni mtoto wa Arusha,inakuwaje anafagilia vitu km hivyo kutoka Kwa mwanaume?
 
Tuliojiajiri hamna hata iyo ya kuitwa wkend ni mchaka mchaka mwanzo mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…