Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,417
Naam!Nilituma hii mkuu ! View attachment 2152993
Mjep Anne kakuambukiza upambe sio!!Aliyesema wakubwa wanafaidi hakukosea
Eeh kaka.. ndio nimetoka ndani nimeona nishtue kwanza tumbo.. badae nkatafute ka mbuzi choma kidogo alafu leo alahamisi weekend inaishilizia πππKaka hii misosi ndio wanaita Baga sio
Naam!
Boss Lady kaingia. Nani anabisha sasa? Nani???????
Raha ya vocha ni sandakaraweWew ukitaka vocha njoo PM hapa Ni sandakalawe
Madam wewe ni wa anga zingineπMjep Anne kakuambukiza upambe sio!!!!
Nije kukuna πππ.. nina steel wire mpya kabisa hapa inahitaji wanao msaidia mu Ukraineππππ
MaskiniiiiAnawashwa washwaa acha nijipange nichukue steel wire nikamsuguee aache kurukia vita ya ukraine atapusuka
EwaaaNilituma hii mkuu ! View attachment 2152993
βοΈβοΈβοΈπβοΈβοΈππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Ni balaaaa........π
Ahsante boss ladyπ
Ujue mimi nikikusema utalia??Nije kukuna πππ.. nina steel wire mpya kabisa hapa inahitaji wanao msaidia mu Ukraine
hapa nimekaa na toto ya kijamaicha imeisha nivuruga ubongo wangu.. ina magonjwa yangu yote.. tatoo moja matata kwenye shingo na mkononi kipindi kala vikuku flani hivi alafu mzigo.. hiii bagoshaaa vita ni kali sanaaa ππππKaka hii misosi ndio wanaita Baga sio
Mi sijatetereka katika misimamo yangu kukuhusu wewe tangu dei wani. Wewe ni Bosi Ledi wa ukweli 100% na daima utabakia hivyo. Yaani hata Zali wa Dayamondi Pulatinamuzi akasome na ubosiledi wake fekimsukuma nawewe mpambe sio!!
Ewaaa
Tuone vaa tishirt fupifupi kidogo kuliko hiyo.
Aiseeee nikiwa mkubwa nataka niwe na shepu nzuri kama hii,nisiwe tukunyema.
Live itNilituma hii mkuu ! View attachment 2152993
Shetani anakaribia kuuteka mji mkuuhapa nimekaa na toto ya kijamaicha imeisha nivuruga ubongo wangu.. ina magonjwa yangu yote.. tatoo moja matata kwenye shingo na mkononi kipindi kala vikuku flani hivi alafu mzigo.. hiii bagoshaaa vita ni kali sanaaa
Nenda sina haja hata ya kukupisha kula kushoto kula kulia ufike unapo kwenda πππππ unajua engine kupoa weweMaskiniiii
π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Mbona mfa maji sasa?
Haya kunywa maji ipoe, poza engine ilo maana limepiga mileage ya kutosha. And next time stop putting too much seriousness on joke stuffs π€Έπ»ββοΈπΉππ
Pyeeeeee
Muone
Ati nimerukia vita, wakati wewe ndiyo uliibukia comment yangu.
Emu nipishe niende zangu πΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈ
Msukuma wee chizi ujue!!π€£π€£π€£π€£π€£ππMi sijatetereka katika misimamo yangu kukuhusu wewe tangu dei wani. Wewe ni Bosi Ledi wa ukweli 100% na daima utabakia hivyo. Yaani hata Zali wa Dayamondi Pulatinamuzi akasome na ubosiledi wake feki
Si tunaangalia tu mshepu halafu na mimi naenda kufanya mazoezi gym niipate kama hiyoAnne Wee mwanamke mwenzangu ujue hio tshet fupi kwioo!!