Mmh roho mbaya tu
Mmh roho mbaya tu
Kisa Cha kucrop hivyo?Mama mchungaji hubandukii
Roho mbaya ya nini tena mkuu?
Au huwapendi ndugu zetu wasukuma?
Hiyo ni selfie live bila chenga mama mchungaji no cropping 😜Kisa Cha kucrop hivyo?
Ndiyo umejifichaaaaaHiyo ni selfie live bila chenga mama mchungaji no cropping![]()
😀😀😀😀 kuna sehemu nimekaa nimesikia haka ka wimbo nimekukumbuka
Kwa hiyo ilinipita hapahapa?
Boss mbona unaleta mambo ya Valentine's leo? 🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀 kuna sehemu nimekaa nimesikia haka ka wimbo nimekukumbuka
And I need you kifo cha mende chali (eeehee)
Body to body (eeehee)
Monday to Monday
And I need you body to body (eeehee)
Monday to Monday (eeehee)
Oh baby do me like it's my birthday
Tena imekaa 5 mnts na haikua na cropping 😜Kwa hiyo ilinipita hapahapa?
Duuuh em rudia tena nkamuTena imekaa 5 mnts na haikua na cropping 😜
Hadi nimescreenshot
😀😀😀😀.. kaburi limefukuliwaBoss mbona unaleta mambo ya Valentine's leo? 🤣🤣🤣🤣🤣
9.8ms squared atakua ameishuhudia live ngoja tumuombe akusimulie ilivyokuaDuuuh em rudia tena nkamu
Kama ndege wa angani😀😀😀😀.. kaburi limefukuliwa
Elewa wewe wewe
Wewe wangu wa moyoni
Ulivyonijaza hadi pomoni
Hakika mwengine sioni
Elewa wewe wewe
Wewe wangu wa moyoni
Ulivyonijaza hadi pomoni
Hakika mwengine sioni
Huyo ataninyanyasa tu. Daah ilikuwaje nikapitwa na hii bahati jamani?9.8ms squared atakua ameishuhudia live ngoja tumuombe akusimulie ilivyokua
Wewe zawadi, we wa dhamaniKama ndege wa angani
Samaki wa majini
Nami Mungu kanipa pa kukaa kando yako
Nina furaha na amani mapenzi ya dhati
Nayonipa sijawahi ona
I've been around the world, but never seen such kind of love (eehh)Wewe zawadi, we wa dhamani
Kanipa Maulana, oh Maulana
Wewe zawadi, we wa dhamani
Kanipa Maulana, oh Maulana
Karibu kwanzaa staff wangu 😊😊Huyo ataninyanyasa tu. Daah ilikuwaje nikapita jamani?
Ohh! And I need you kifo cha mende chali (eeehee)I've been around the world, but never seen such kind of love (eehh)
Such kind of love (eehh)
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu kwanzaa staff wangu 😊😊View attachment 2147965