mahondaw dear ili kupambana na kitambi jitahidi uache vinywaji vyenye Sukari nyingi...usiku jitahidi Sana ule matunda kama wali mara moja moja .. asubuhi tumia chai yenye mchanganyiko wa unga wa majani ya machungwa..tangwaizi..karafuu na pilipili manga kidogo..kwenye maji..vugu weka na asali kidogo kunywa na jioni pia nusu saa kabla ya kulala..😊