Selfika na JF: Snap it. Show it

Kila kitendo cha dhambi ambacho mwadamu hufanya, huondoa sehemu ya upendo wake kwa Mungu ( huondoa sehemu ya maisha ambayo Mungu amempa mwanadamu), dhambi inafanya maisha kuwa mafupi you know 😳😳.. The good things neema ya Mungu ipo kuturudisha katika pendo letu la kwanza..

Ufunuo wa Yohana 2:4
Lakini nina neno juu yako, ya kwamba umeuacha upendo wako wa kwanza.

Ufunuo wa Yohana 2:5
Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.

Furahiday njema.. 😁😁😁
 
Si unajua mtu akiwa kapita pita darasani akiamua kuwa tapeli.. namna anavyokuwa mkali.. Reference : Nigerian 😎😎
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† I knowww...utapeli wa kisomi πŸ‘ŠπŸΎπŸ‘ŠπŸΎ

Ila ndugu zetu hao ni moto wa kuotea mbali! Nikienda kwao next month inabidi niwe nimechangamka nisije nikarudi sijielewi πŸ₯΄
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† I knowww...utapeli wa kisomi πŸ‘ŠπŸΎπŸ‘ŠπŸΎ

Ila ndugu zetu hao ni moto wa kuotea mbali! Nikienda kwao next month inabidi niwe nimechangamka nisije nikarudi sijielewi πŸ₯΄
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ Wanaweza wakakuiba na weweee... sinza siku hizi wa Nigeria wamekuwa wengi sana.. sijui kuna nini tu hapi
 
Na hawashindwi wale πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Michongo probably! Si wanasemaga Sinza ndo wanapoishi watoto wa mjini 😏
Ndo wamekutana sasa 😐
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ sasa hao watoto wa mjini mbona wanapigwa kweli kweli nao na watu waliozaliwa mjini.. ujue kuna kuwa mtoto wa mjini na kuna kuzaliwa mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…