Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Nasafisha mikono,huenda na mimi nitakuja kushika hela.Mwaisaaa nakuona upo na kibundaaaaa mwaisaaa![]()
Nasafisha mikono,huenda na mimi nitakuja kushika hela.Mwaisaaa nakuona upo na kibundaaaaa mwaisaaa![]()
Mwenye haki wake huishi kwa imani.. not hope not wazo na wish.. but faith.. faith bila matendo is dead... 1 + 1 = 10Nasafisha mikono,huenda na mimi nitakuja kushika hela.
Rich dude bana.![]()
Mwaisaaa nakuona upo na kibundaaaaa mwaisaaa![]()



Huyu mwenye redi ndio ww nini!? nawapendaga sana wadada wenye wajihi huo
Weee...ningekuwa najua ku-trade mbona mngenikoma 😐😐Yako hiyo, Hata sio ya mtu mwingine.
Kinapendeza kwenye bodaKwa kile....... sio cha kukalia boda boda.. kile kinakalia vitu soft bina
![]()
tutapanda mshaki ikipendeza wakati twaenda nyikaniKinapendeza kwenye boda
Angalizo
Asipakiwe na kishandu
Hahahaaa....
Weee...ningekuwa najua ku-trade mbona mngenikoma![]()
Jaribu Tutorial kadhaa Youtube hamna shida 
Lete $ 1000 nikupe strategyWeee...ningekuwa najua ku-trade mbona mngenikoma 😐😐