reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Sasa si ndo nikamchukue kwa mama mkwe wake.Km ilikua kawaida, na siku 40 zimepita, wee anza kupiga jalamba taratibu,![]()
Sasa si ndo nikamchukue kwa mama mkwe wake.
In the meantime hebu endeleeni kunipa dawa
CC@mahondaw




wacha wee.Acha dhambi bhasimeisha hiyooooooh,
Hahahaaa!!!!!Pamoja sana madam, Ila nikiwa mkubwa nitatafuta pesa sana ili kisu changu kiwe na makali,![]()
Basi nikamtoe kwa mamkwe wakee.Namaanisha tunda hilohilo la mkeo 6 months mingi mno kwa mwanamke aliejifungua kawaida!! ingekua walimpasua hapo sawa!
Basi naomba urafiki na weweI stand to be correct 100%

wee kapambane na mkeo weeh!Sasa si ndo nikamchukue kwa mama mkwe wake.
In the meantime hebu endeleeni kunipa dawa
CC@mahondaw


Dawa tena!!!!!Basi nikamtoe kwa mamkwe wakee.
Kwa sasa endeleeni kunipa dawa zenu.








wee kapambane na mkeo weeh!![]()





Ndyoooo jimbo lina mbunge, hatutaki ugombea wenza, kila mtu atafute jimbo lake,
Mbona unasema kwa sauti ivo na weweee..
Unataka ving'asti humu wanikimbie kisa jimbo occupied?![]()






Hahaha wewe jamaaUkimuona Tinsley
Si utawehuka
Sasa sikiliza hakuna hata picha moja
Nimeona leo hii
Sijui unanielewa
Nipe unafuu angalau
Nikufaudu kwa kuona

.Eeeeeh njoo hapa unioneshe lips tena ucheke yaan,Hahaha wewe jamaa.




Namlaumu mahondaw kwa hili.Ndyoooo jimbo lina mbunge, hatutaki ugombea wenza, kila mtu atafute jimbo lake,![]()