Wee kumbe fododido
"Una nusu ya moyo wangu,
Na nusu iliyobaki kwangu
Yote nakupenda weweeee"
Nilikopita kote niliteleza
Ila kwako wee ndo kiboko yangu.
Plz unajua vile kwako sijiwezi, sisikii wala sioni, hebu njoo bas nikuone jomoneeeeh, nimekumiss had naumwaa, yaan unakujaga kuchungulia na kutoka, aaaah nimekumiss mwenzio,.
Am serious nimekumic mno wee kiumbeee,