Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Oghabhetaga oiGosi olemung'hwani
Wigelekelo gejiji gelempanda lya maswa goja shinyanga higwaga bakonda bha gari bagatangajaga
Namanile onghedeshagha
Lori sha maghuta

Oghabhetaga oiGosi olemung'hwani
Wigelekelo gejiji gelempanda lya maswa goja shinyanga higwaga bakonda bha gari bagatangajaga

Hivi umemficha wapi Pep jamani![]()

KwaniSijawahi comment kwenye huu uzi imebidi nicheke kwa sauti looheti mikono ya watu wa mbeya inachekesha
![]()

Na wewe ni msukuma kwani?View attachment 2126336
Kwasisi tuliozoea kula ugali wa watu wanne peke yako, unapopewa kaugali kama haka unakuwa unaonja tu.
Anyways, karibuni tuonje![]()
Si unaiona namna ilivyokaa,,inakuwaga kama tangawizi
Tunaomba uselfike![]()


ah we unaijua mikono iliyokaa Kama tangawizi au yenye sugu kweli??ou es-tu,rafikiBien rafiki.!!
Ndio kama wangu huo😂ah we unaijua mikono iliyokaa Kama tangawizi au yenye sugu kweli??
Hehehe unanifukuza
Mbona kawaida sana

Nimetamanijeeee huo mtindi hapo




!!
Tangu nitoke na kaka sijamuona tena
Karibu mkuuNimetamanijeeee huo mtindi hapo!!
Enjoy your meal mkuu!![]()
Hio mito double unalalaje pekeako ????!!


Hii offer imepita ehWale wa karibu tukutane kwa love sinza. Kn order ya Kitimoto ,tujipoze na moja baridi moja moto