.. sijawai pata Christmas tree hata siku moja.. cha ajabu kwenye Crown yangu ndio kulikuwa na tawi la Christmas
ila kwa mzungu hakujawai kuwa hata na nukta zaidi ya siku moja nilipasua sump ndio ikaniwashia oil level down.. sasa hivi huwa natumia jaguar mala moja moja.. sijakutana na mti wa christmas.. haya magari matunzo mkuu ulaya ni ulaya mzee
πππ una hatari sana kuendesha gari una tawi la mkrisimasi sio poa.. labda kwa trip za town ila kama mtu wa masafa unaweza ita breakdown kutoka dar ije ikubebe πππ.. kuna jamaa alikuwa na Volkswagen ikaloga manyoni pale mbona gari ilipakiwa na gari kurudi dar es salaam