Shukrani bossNenda kwenye settings => apps => Jf => apps => Storage => Clear data halafu rudi kwenye App yenyewe ya JF sasa. Itakuambia ulogin upya na mara nyingi tatizo lako litakuwa limekwisha.
Hii ni kwa Android tu lakini
Na wewe nimeshakuhesabu kamanda.Na sisi wazee wa chabo tunazengea kiaina [emoji2960]
Sijapoa mpenzipole Mamii
[emoji3][emoji3][emoji3]hapo sawa [emoji109]Na wewe nimeshakuhesabu kamanda.
Ni wewe, mimi, yeye na Khantwe. Mtu nne tu! [emoji16][emoji16][emoji16]
Unairudia ile uliyoikata sana au niuchape usingizi tu?
Muarusha au Mu-Iraqw kabisa. Wazazi wote ni Wanyaki/Wabantu?
Ndo saa 12 jioni hapa nilipo. Hata dinner sijaanza kujipikilisha [emoji16][emoji16][emoji16]ha ha ha ha uchape usingizi
kwani huko ni usiku kumbe??
Ni Wanyaki Pure wa Kyela.
Na wewe nimeshakuhesabu kamanda.
Ni wewe, mimi, yeye na Khantwe. Mtu nne tu! [emoji16][emoji16][emoji16]
Ndo saa 12 jioni hapa nilipo. Hata dinner sijaanza kujipikilisha [emoji16][emoji16][emoji16]
Saa 9 usiku huko. Usingizi umegoma au uko safarini duniani huko kama kawaida yako?
Ungeishusha tu bana hata kwa sekunde 30
Sijapoa mpenzi
Rudia basi mpendwamnazidi ongezeka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uwe na mazoea ya kufanya hivyo. App ya JF kukiwa na cache/data zaidi ya 500MB mpaka 1GB huko inakuwa nzito na matokeo yake ndo kama hayo. Mara picha hazionekani.Shukrani boss
[emoji120][emoji120][emoji120]Uwe na mazoea ya kufanya hivyo. App ya JF kukiwa na cache/data zaidi ya 500MB mpaka 1GB huko inakuwa nzito na matokeo yake ndo kama hayo. Mara picha hazionekani.
Hapo sawa. Basi yeye ale bata zake na sisi huku tule bata zetu kwa wewe kutuselfikia [emoji16][emoji16]Nimemsindikiza baba watoto kwenye bata zake[emoji3]
kukata usingizi ndo naperuzi JF
Rudia basi mpendwa
Ndio jamani...kwaajili yangumwee jamaniii
Hapo sawa. Basi yeye ale bata zake na sisi huku tule bata zetu kwa wewe kutuselfikia [emoji16][emoji16]
Haya mpendwa. Japo kunakaribia kucha lakini ulale salama na huyo mla bata mwenzio. Asante [emoji1545]kwa leo zimetoshaa[emoji3] ipo siku nitashare tu tena
Haya mpendwa. Japo kunakaribia kucha lakini ulale salama na huyo mla bata mwenzio. Asante [emoji1545]