Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,796
- 48,044
π nachokupendeaga huwa unanisameheNinune mara ya ngapi
Thubutu... Nimeshachoka kukusamehe[emoji8] nachokupendeaga huwa unanisamehe
mdogo uwe wewe [emoji28][emoji28] ..Mimi huyu.. niombe mke [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. kwanza mie bado mdogo..
Sijaona ila najua wewe ni mkubwa
Watu wanaogopa sana kuanza sifuri ndio shida ya huyo alie jiamulia kujinyonga.. Anza sifuri tu kama hukubahatisha kupata ulichopata.. watakucheka but utasimama tenaa..Kama nakuona ukipiga kasi kupata mke wa hivi..ππΏ
Moshi: Mstaafu wa Polisi ajinyonga baada ya mke wake kuuza nyumba na mali nyingine
Mstaafu wa jeshi la polisi wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro bwana Omary Msangi amejinyonga hadi kufa baada ya kwenda kutibiwa jijini Dares salaam na aliporudi akakuta mke wake ameuza kila kitu ikiwemo nyumba na mashamba hivyo kulazimika kwenda kuanza maisha ya kupanga nyumba. ---- Mstaafu...jamii.app
Mie mtoto mwenzako bwanaaSijaona ila najua wewe ni mkubwa
Haya mtoto mwenzangu πMie mtoto mwenzako bwanaa
ππππππ.. haya rafiki rafiki japo tumegayanaaa.. kesho mapema naamka na wewe πππHaya mtoto mwenzangu π
Muda umepita eeh ..karibu sanaππππππ.. haya rafiki rafiki japo tumegayanaaa.. kesho mapema naamka na wewe πππ
Usipopiga goti kupata mke mwema, ukapiga goti kupata pesa....haya ndo matokeo sasa.Watu wanaogopa sana kuanza sifuri ndio shida ya huyo alie jiamulia kujinyonga.. Anza sifuri tu kama hukunahatisha kupata ulichopata.. watakucheka but utasimama tenaa..
muda umepita sana hadi naugua ππMuda umepita eeh ..karibu sana
Pole sana rafiki yangu .muda umepita sana hadi naugua ππ
πukiniacha mi ntaliaThubutu... Nimeshachoka kukusamehe
ππ naiomba na account ya bank naiongezea nyingine.. alafu naanza zero.. baada ya mda naishangaza tena inajileta naitia mimba mapacha, ikizaaa mimba tenaaa hiyo ndio inakuwa adhabu yake ππππ nakuwa natia tu mimbaaa.. nashukuru Mungu sijawai kuwa na woga wa kuanza sifuri maisha, sijawa na woga wa kuchekwa ku fail maisha, sijawai kuwa na woga wakupungukiwa nipo radhi kuisha maisha yoyote for a seasonUsipopiga goti kupata mke mwema, ukapiga goti kupata pesa....haya ndo matokeo sasa.
Unaenda zako Chunya kucheki shamba lako la maparachichi, kurudi unakuta pisi imeuza hadi watoto π€£π€£
We lia tu mwisho utanyamaza[emoji23]ukiniacha mi ntalia
Kutokua mwoga ni kitu kizuri.ππ naiomba na account ya bank naiongezea nyingine.. alafu naanza zero.. baada ya mda naishangaza tena inajileta naitia mimba mapacha, ikizaaa mimba tenaaa hiyo ndio inakuwa adhabu yake ππππ nakuwa natia tu mimbaaa.. nashukuru Mungu sijawai kuwa na woga wa kuanza sifuri maisha, sijawa na woga wa kuchekwa ku fail maisha, sijawai kuwa na woga wakupungukiwa nipo radhi kuisha maisha yoyote for a season
Goodnight rafikiChakorii Heaven Sent Saint Anne Tinsley Khantwe kipara ngoso Pep mahondaw
Usiku mwema wakubwa zangu πππ..
View attachment 2096695