Selfika na JF: Snap it. Show it

yaah! mkikogambana kama wapenzi, mnashift washkaji, kidogo mnakuwa wana.. kidogo mke yani nyumna mda wote inakuwa ya motooo.. sema utoto unaniponza nimekosa 😬😬😬
Si ndioo, mnacheza namba zote

______

Piga goti kama blaza kipara, dua zitafika
 
Mzee wa night Nipo Tyr hata uniamshe saa nane usiku nitayakimilisha majukumu yangu bila tatizo na sherehe itaisha salama...
 
πŸ˜πŸ˜˜πŸ˜πŸ˜˜πŸ˜β€οΈβ€οΈβ€οΈπŸ’—πŸ’“πŸ’žπŸ’•πŸ˜πŸ˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜πŸ˜˜ miss you more
😘😘😘😘😘😘😘😘😘❀❀❀❀❀❀❀
 
Niache kuomba pesaa.. nikae naomba mke ni matumizi mabaya ya maombi na mda.. mie sio mweu kama kipara ngoso πŸ˜ŠπŸ˜…πŸ˜€
Kama nakuona ukipiga kasi kupata mke wa hivi..πŸ‘‡πŸΏ

 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Haitakaa itokee hiii.. hao wazee wa zamani ndio wamekuwa wanaingia mkenge huo.. alafu mie kumuachia mwanamke kila kitu sio issue.. naweza nikatoka hata uchi wa nyama.. baada ya mwezi akashangaa nime double..

................

Acha nikupe siri ya kuto babaishwa na mali au angulo

.................

Fanya chini juu katika maisha yako uwe na network ambayo ipo very strong na yenye uadilifu wa hali juu... strength katika maisha yako isijengwe na pesa au vitu ulivyo navyoo.. ukijenga strength kupitia vitu hukawii kuisha ukikutana na amajanga kama hayo
 
katika maisha yangu nilisha jiapiza maisha yangu kutokuwa driven na mali, pesa au mtu.. mie hata leo ukinianzishai maisha ya kwenda kulala k. koo poa tu sioni noma but najua baada ya siku kadhaaa nitalaa vizuri labda unikate kichwa au uondoe akili na mdomo ndio utaniweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…