Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jan 10, 2022 #134,801 ERoni said: sio muonekano, mimi nimeokoka na kusifu na kuabudu ni vipaumbele vyangu Click to expand... Ila kuna muda huwa unajitoa tu ufahamu unajidai Yesu humuelewi
ERoni said: sio muonekano, mimi nimeokoka na kusifu na kuabudu ni vipaumbele vyangu Click to expand... Ila kuna muda huwa unajitoa tu ufahamu unajidai Yesu humuelewi
ERoni JF-Expert Member Joined Jan 9, 2013 Posts 52,564 Reaction score 119,620 Jan 10, 2022 #134,802 Saint Anne said: Ila kuna muda huwa unajitoa tu ufahamu unajidai Yesu humuelewi Click to expand... We unamuelewa kwani? Mtu katuleta duniani tuishi kwa shida na matumaini hewa we unamuelewa vipi...
Saint Anne said: Ila kuna muda huwa unajitoa tu ufahamu unajidai Yesu humuelewi Click to expand... We unamuelewa kwani? Mtu katuleta duniani tuishi kwa shida na matumaini hewa we unamuelewa vipi...
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,803 9.8ms squared said: Hii ina pweza, kaa, prones, mboga mboga, karangaa na vingine sivijui 😋😋😋 Click to expand... Umekula vitu vyenye afya sana👊🏿👊🏿
9.8ms squared said: Hii ina pweza, kaa, prones, mboga mboga, karangaa na vingine sivijui 😋😋😋 Click to expand... Umekula vitu vyenye afya sana👊🏿👊🏿
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 10, 2022 #134,804 Chakorii said: Wapi sasa unakuja..Mie mpitaji tu Click to expand... 😁😁😁 Mwanzaaa.. nahisi tutakuwa tunapishana tu
Chakorii said: Wapi sasa unakuja..Mie mpitaji tu Click to expand... 😁😁😁 Mwanzaaa.. nahisi tutakuwa tunapishana tu
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,805 Saint Anne said: Mama mchungaji wa mjini Click to expand... 🤣🤣🤣
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 10, 2022 #134,806 Chakorii said: Umekula vitu vyenye afya sana👊🏿👊🏿 Click to expand... Nachopendea hii nakula hadi jasho, alafu namalizia na chawi dawa kabla ya Americano.. then naanza mchaka mchaka kupandana na kina kaisari 😁😁😁
Chakorii said: Umekula vitu vyenye afya sana👊🏿👊🏿 Click to expand... Nachopendea hii nakula hadi jasho, alafu namalizia na chawi dawa kabla ya Americano.. then naanza mchaka mchaka kupandana na kina kaisari 😁😁😁
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jan 10, 2022 #134,807 ERoni said: We unamuelewa kwani? Mtu katuleta duniani tuishi kwa shida na matumaini hewa we unamuelewa vipi... Click to expand... Umeanza tena! Tuendelee na Asenali.
ERoni said: We unamuelewa kwani? Mtu katuleta duniani tuishi kwa shida na matumaini hewa we unamuelewa vipi... Click to expand... Umeanza tena! Tuendelee na Asenali.
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,808 9.8ms squared said: 😁😁😁 Mwanzaaa.. nahisi tutakuwa tunapishana tu Click to expand... Ila unaroho ngumu wewe...ndo nini kupishana Na wageni?sijapenda hii tabia
9.8ms squared said: 😁😁😁 Mwanzaaa.. nahisi tutakuwa tunapishana tu Click to expand... Ila unaroho ngumu wewe...ndo nini kupishana Na wageni?sijapenda hii tabia
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 10, 2022 #134,809 Chakorii said: Ila unaroho ngumu wewe...ndo nini kupishana Na wageni?sijapenda hii tabia Click to expand... Na nyie wageni hamkai makwetu mda mrefuu.. 😊😊😊.. muwe mnakaa hata tu wiki
Chakorii said: Ila unaroho ngumu wewe...ndo nini kupishana Na wageni?sijapenda hii tabia Click to expand... Na nyie wageni hamkai makwetu mda mrefuu.. 😊😊😊.. muwe mnakaa hata tu wiki
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,810 9.8ms squared said: Nachopendea hii nakula hadi jasho, alafu namalizia na chawi dawa kabla ya Americano.. then naanza mchaka mchaka kupandana na kina kaisari 😁😁😁 Click to expand... Safi kabisa👊🏿👊🏿 Inaelekea unapenda coffee sana. Kuna kipindi nilikuwa bila kupiga espresso aise maisha yanakuwa magumu mno nachoka Choka hovyo
9.8ms squared said: Nachopendea hii nakula hadi jasho, alafu namalizia na chawi dawa kabla ya Americano.. then naanza mchaka mchaka kupandana na kina kaisari 😁😁😁 Click to expand... Safi kabisa👊🏿👊🏿 Inaelekea unapenda coffee sana. Kuna kipindi nilikuwa bila kupiga espresso aise maisha yanakuwa magumu mno nachoka Choka hovyo
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,811 9.8ms squared said: Na nyie wageni hamkai makwetu mda mrefuu.. 😊😊😊.. muwe mnakaa hata tu wiki Click to expand... Akuuuu
9.8ms squared said: Na nyie wageni hamkai makwetu mda mrefuu.. 😊😊😊.. muwe mnakaa hata tu wiki Click to expand... Akuuuu
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 10, 2022 #134,812 Chakorii said: Akuuuu Click to expand... Sie wakarimu, hata ukitaka hotel tunalipia kabisaaa, sie kwetu wasukumu pesa na upendo sio shida kwetu
Chakorii said: Akuuuu Click to expand... Sie wakarimu, hata ukitaka hotel tunalipia kabisaaa, sie kwetu wasukumu pesa na upendo sio shida kwetu
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jan 10, 2022 #134,813 Chakorii said: Safi kabisa👊🏿👊🏿 Inaelekea unapenda coffee sana. Kuna kipindi nilikuwa bila kupiga espresso aise maisha yanakuwa magumu mno nachoka Choka hovyo Click to expand... Huyo ana undugu na kahawa
Chakorii said: Safi kabisa👊🏿👊🏿 Inaelekea unapenda coffee sana. Kuna kipindi nilikuwa bila kupiga espresso aise maisha yanakuwa magumu mno nachoka Choka hovyo Click to expand... Huyo ana undugu na kahawa
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,814 Saint Anne said: Dah Hii kauli huwa naambiwa nyumbani Click to expand... Tena wewe inatakiwa umpate mume ngangari kama wa kanda maalumu ukileta mambo yako chap Kwa haraka anakuzibua🤣🤣🤣vinginevyo utampanda hadi kichwani. Hebu tuache masihara..hivi kwanini vilastborn vinapenda kuendesha watu?
Saint Anne said: Dah Hii kauli huwa naambiwa nyumbani Click to expand... Tena wewe inatakiwa umpate mume ngangari kama wa kanda maalumu ukileta mambo yako chap Kwa haraka anakuzibua🤣🤣🤣vinginevyo utampanda hadi kichwani. Hebu tuache masihara..hivi kwanini vilastborn vinapenda kuendesha watu?
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,815 Saint Anne said: Wa kishua kama wakishua. Kaka mpole ,mlokole afu wa kishua yaani. Click to expand... Yani...anazidi kuvuruga watu
Saint Anne said: Wa kishua kama wakishua. Kaka mpole ,mlokole afu wa kishua yaani. Click to expand... Yani...anazidi kuvuruga watu
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,816 9.8ms squared said: jamani jamani jamanii taratibuu zawadi yako inakuja 😧😧😧 Click to expand... Ndo uniambie ni lini sasa
9.8ms squared said: jamani jamani jamanii taratibuu zawadi yako inakuja 😧😧😧 Click to expand... Ndo uniambie ni lini sasa
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 10, 2022 #134,817 Chakorii said: Safi kabisa👊🏿👊🏿 Inaelekea unapenda coffee sana. Kuna kipindi nilikuwa bila kupiga espresso aise maisha yanakuwa magumu mno nachoka Choka hovyo Click to expand... Usije kuwa wewe, kuna pisi kali moja tulikuwa tuna meet nayo karibia kila siku marrybrown inachapa ka espresso yake then hiyo inasepa hadi ikawa rafiki yangu.. 😁😁😁😁😁
Chakorii said: Safi kabisa👊🏿👊🏿 Inaelekea unapenda coffee sana. Kuna kipindi nilikuwa bila kupiga espresso aise maisha yanakuwa magumu mno nachoka Choka hovyo Click to expand... Usije kuwa wewe, kuna pisi kali moja tulikuwa tuna meet nayo karibia kila siku marrybrown inachapa ka espresso yake then hiyo inasepa hadi ikawa rafiki yangu.. 😁😁😁😁😁
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,818 9.8ms squared said: Mueacheni Saint Anne 🙂🙂🙂.. wangu Click to expand... Tushamuacha kilastboni chako
Chakorii JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 18,785 Reaction score 51,527 Jan 10, 2022 #134,819 ERoni said: Nimepatia, si eti chakorii! Click to expand... Kabisa kabisa ndo mana nikagongelea msumari na nyundo
ERoni said: Nimepatia, si eti chakorii! Click to expand... Kabisa kabisa ndo mana nikagongelea msumari na nyundo
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 10, 2022 #134,820 Chakorii said: Yani...anazidi kuvuruga watu Click to expand... Tulia weweee 😧😧😧