Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
ππππNext time mtoto mzuri mama mtumishi.
Saa hii tuandae somo kwaajili ya ibada kesho.
Sema sasa hizi dislikes umenipiga zimenipa stress kiasi inabidi niandae somo hivi..
View attachment 2074095
Moral lesson?ππππ
Sawa bwana,leo umekaza kiume
Kabisa nimejifunzaπππMoral lesson?
In our journey we're never going to get all our wishes granted.
We might be needed to settle for less....atleast for sometime π
NaaamKabisa nimejifunzaπππ
Leo umesimamia msimamo wako tangu asbh,pamoja na kukupamba kote kule.
Mama mtumishi huwa anazitandika step,sijui usingizi unatoka wapiπ.Naaam
Lala sasa kesho usisinzie kwenye kwaya ππ
Mungu akikupa nafasi ya kutenda jambo lililondani ya uwezo wako kwa yeyote anaehitaji msaada usiipoteze.
Watu wanateseka na vingi mioyoni mwao,na hawani wanao waamini kuwaambia.
Mungu awapunguzie adhabu wale wote waliokatisha uhai wao kwa sababu yeyote ile.View attachment 2073977
yaani napambana hapa maana nina usingiziiii
Ninavyooenda kuimba kwaya natamani ningepata mentorMama mtumishi huwa anazitandika step,sijui usingizi unatoka wapi.
(Bado hajaanza kuimba,uvivu wa kwenda mazoezi haujamuacha salama)
Hakuna sehemu napata amani kama kanisani.Ninavyooenda kuimba kwaya natamani ningepata mentor
Mungu awabariki wale wote waliotoa muda wao kuniombea,kunitia moyo,kuniinua pale nilipoanguka,,yaani kuna watu wametumwa na Mungu kuinua watu.Mungu akikupa nafasi ya kutenda jambo lililondani ya uwezo wako kwa yeyote anaehitaji msaada usiipoteze.
Watu wanateseka na vingi mioyoni mwao,na hawani wanao waamini kuwaambia.
Mungu awapunguzie adhabu wale wote waliokatisha uhai wao kwa sababu yeyote ile.View attachment 2073977
Hongera aisee, kuna wakati nilikua kwenye kikundi fulani cha sala kanisani kwetu ambacho kusifu na kuabudu ni sehemu ya sala, sa hakuna wakati mgumu niliokuwa napata kama kucheza, hio kitu imenishinda mpaka nimetoka kwenye kile kikundi, na ndipo nikanyakwa na dunia tenaHakuna sehemu napata amani kama kanisani.
Mimi siimbi kwaya mkuu,naimbaga tu worship&praise team..napenda sana kuabudu...muda wa kusifu napenda kuzichapa step,,yaani hapo nitacheza tani yangu tena freestyle kabisa.
Ungeijua nguvu iliyopo kwenye kusifu na kuabudu ungeongeza juhudi na shauku ya kumsifu na kumuabudu Mungu.Hongera aisee, kuna wakati nilikua kwenye kikundi fulani cha sala kanisani kwetu ambacho kusifu na kuabudu ni sehemu ya sala, sa hakuna wakati mgumu niliokuwa napata kama kucheza, hio kitu imenishinda mpaka nimetoka kwenye kile kikundi, na ndipo nikanyakwa na dunia tena
I know, lakini tulikulia kwenye imani ya kutokucheza kanisani nadhani catholic unawajua, achana na hawa wa leo!Ungeijua nguvu iliyopo kwenye kusifu na kuabudu ungeongeza juhudi na shauku ya kumsifu na kumuabudu Mungu.
Kuna muda hauhitaji hata kuomba,Mungu anaanza kuachilia majibu kipindi unamsifu na kumuabudu.
NdiyoUna lala na kanga
Joto hamna kwenu eNdiyo
mmhhh..
Lipo sana,nikija kushtuka najikuta mwenyewe tu sina kangaJoto hamna kwenu e
Mmmmhmmhhh..
af nimesubiri muongozo hata sipewi, kutafuta mke shughuli doh