Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee weka hapa plz, lolote litakalotokea litakua juu yetu, hutahusika. Serious weka bhana.
isije ikawa miaka falni nipo secondary school, nina rafiki yangu mmoja akaja kuniambia kuna majani flani nikachume wakati natongoza demu niwe natafuna hako kajani.. hakuna demu atae kataaa.. khaaaaa... nilichopataga kwa A.... japo badae niling'oaaa siji kusahau hiyo aibu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wee weka hiyo mixer bhana kijana wa kihuni.

Plz niko seriouz hapa.
 
aaah! kuna namna mtu hajui kama wazungu wanatoka utashangaa mtu chaliii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…