Selfika na JF: Snap it. Show it

Kabisaa
Mimi huwa siwezi kubishana nao, seriously mtu aweke picha nusu utupu sababu ya 30thao?!
Ni lini wataelewa utu wa mtu hauthaminishwi na fedha!! Ndo maana nawaangaliaga tuu mimi jamani!
Si wanawaona wanawake kama bidhaa ndiyo maana hata wakiwatolea mahari wanadhani wamewanunua na kwamba wanaweza kuwafanya chochote wanachojisikia
 
Si wanawaona wanawake kama bidhaa ndiyo maana hata wakiwatolea mahari wanadhani wamewanunua na kwamba wanaweza kuwafanya chochote wanachojisikia

Let's agree to disagree

Kwenye wengi kuna mengi na we aren't equal. Variations in perception, focus and respect will always exist.

God be upon us.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…