Heaven Sent wallahi leo kwa mara ya kwanza nimekuota umetuma picha humu! Yaani ile nimeamka tu nimekuja mbio selfika nikidhani Roho Mtakatifu amenionesha usingizini ili niwahi kuja kuona picha yako nisipitwe!
Najua unaweza hisi utani ila niko serious kabisa Mungu shahidi yangu siwezi msingizia kwenye hili! Tena nimeota umetupia full umevaa gauni jekundu hujajiziba na emoji ila tu uso umeangalia nyuma so haukuonekana vizuri!