Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Hapa umekuwa mkwelisema kazuri kazuri dah! watoto wa vyuoni hasa mabinti wapo kwenye mazingira hatarishi sana kama hawana foundation flani kutoka makwao
πππ kausha basiiHapa umekuwa mkweli
Hizo zingine huko juu ilikuwa kichaka cha kujifichia msaada tutani
Anahitaji msaada zaidi ya maombi. Mwenye mawasiliano yake anipatie au mwenye kujua namna ya kumpata kwa urahisi
Sure huyo binti yupo attacked na marine spirit, anahitaji msaada wa rohoni, na akilini pamoja na mwilini. Ni issue serious kweli sema watu wanaangalia katika jicho la duniani.. ila sie wazazi tunajua
Ila mtoto yule ni balaakausha basii
Wacha Bwana...Sure huyo binti yupo attacked na marine spirit, anahitaji msaada wa rohoni, na akilini pamoja na mwilini. Ni issue serious kweli sema watu wanaangalia katika jicho la duniani.. ila sie wazazi tunajua
Ukweli mie nilitumiwa hizo video kwenye simu na mtu, huwa sipendi picha za utupu nilipo nikafuta hapo hapo nadae naona habari tena kama siku mbili au tatu.. ndio nikajua binti ana hitaji msaada. kwa mtu alie sawa hawezi ingiza chupa ukeni au nyumani.. kuna kitu hakipo sawa kwa huyo binti anahitaji msaada wetu sie wazaziWacha Bwana...
Binafsi hizo video sijaziona.nasikia tu habari za soda..Kwa hiyo sina ninachoweza kusema ndugu Mzazi
Sent using Jamii Forums mobile app
We sikuwezi aseee.. Nipe namba zake nikatoe msaadaIla mtoto yule ni balaa
Sasa hivi nimeanza kunywa mirinda nyeusi
Duh!!!! Kama ndiyo alivyofanya basi anahitaji msaada mkubwa hasa wa kiakili...Ukweli mie nilitumiwa hizo video kwenye simu na mtu, huwa sipendi picha za utupu nilipo nikafuta hapo hapo nadae naona habari tena kama siku mbili au tatu.. ndio nikajua binti ana hitaji msaada. kwa mtu alie sawa hawezi ingiza chupa ukeni au nyumani.. kuna kitu hakipo sawa kwa huyo binti anahitaji msaada wetu sie wazazi
Huyo ni kama binti yangu nasikia uchungu, ni mtoto wa mama na baba pia ni dada wa mtu.. navaa viatu vyao. Soon nafika asee eneo husikaDuh!!!! Kama ndiyo alivyofanya basi anahitaji msaada mkubwa hasa wa kiakili...
Wewe kama Mzazi msaidie huyo Binti..Mtoto wa mwenzako ni wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni kama binti yangu nasikia uchungu, ni mtoto wa mama na baba pia ni dada wa mtu.. navaa viatu vyao. Soon nafika asee eneo husika
Huji tupate hata Strawbery mojito nini vilee
chochote utachotaka ππ
Karma atakubali kuja sasa π¬π¬π¬π¬.. ukuje mwenyewe asee
eeeh! au unaonaje ππ