Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Haha pande 2 hazitoshi solo??? Mimi nashona solo kama zilivo hapo sema nataka upande mmoja ubaki nijifunge tu! Sasa sijui kitatosha!!!!!??
Dada we konki wa mishono mi sijawahi shona solo zote mbanano tuuSolo fupi inatosha. Ila kwa solo ndefu afu mchanuo wa kutosha, ni pieces 3
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 yes salimeti kama hujapewa zawadi yoyote kwako itakua siku ya masumbwi tu mixer mitama maana huna faida😂, ila kama ukiletewa hiyo flower kama ya Mahondaw hiyo kwako tunaita happy boxing day😂Boxing day ni siku ya kufanya nini soulimeti? Mimi nafikiri ni siku ya masumbwi ama?
Vipi; umekwama maporini mkuu?
Asante kwa ufafanuzi. Lakini siyo kweli eti usipopewa zawadi ndo huna faida. Faida unajipa mwenyewe tu na Mungu wako. Kutegemea kupewa faida na wanadamu ni kujiweka mtegoni kisaikolojia ila nimekuelewa sana!yes salimeti kama hujapewa zawadi yoyote kwako itakua siku ya masumbwi tu mixer mitama maana huna faida, ila kama ukiletewa hiyo flower kama ya Mahondaw hiyo kwako tunaita happy boxing day
Hahaa halafu uwe umeipania kuivaa hio nguo sasa!!Usiombe ukutane na fundi Jose au fundi jumaa!utatamani kulia!ilinitokea hyo jioni harusi!!!yaani sisahau nilitoa chozii!
Ndugu yangu ilikuwa afe.. Hardtop ilichomoka tyre na propeller shaft ikamtoa road akacheza nayo kwenye mapori umbali wa zaidi ya mita 100 mpaka ikagota kwenye mnazi bila kupinduka.. Tulikuwa nyuma yao umbali wa km 20 hiviVipi; umekwama maporini mkuu?
Nakuelewa bina. Em kaa humu kwanzaNtakutumia binamu ingawa ntashona cha hukoo juu!Mimi chini ntabanaa!!!maana kupoteza pande tatu kwa mshono mmoja noo!
Ukiwa boss lady bila shaka vitu kama hivi unakuwa ushavizoea tu. Na kwa level yako hayo "maua" hayakupaswa kuwa ya kienyeji (madafu)...kama ulivyofanya kwenye birthday fulani uliyowahi kum-wish bosi fulani humu. Nakuaminia boss lady
Usiombe ukutane na fundi Jose au fundi jumaa!utatamani kulia!ilinitokea hyo jioni harusi!!!yaani sisahau nilitoa chozii!
Aisee poleni sana. Mungu ni mwemaNdugu yangu ilikuwa afe.. Hardtop ilichomoka tyre na propeller shaft ikamtoa road akacheza nayo kwenye mapori umbali wa zaidi ya mita 100 mpaka ikagota kwenye mnazi bila kupinduka.. Tulikuwa nyuma yao umbali wa km 20 hivi
Dada we konki wa mishono mi sijawahi shona solo zote mbanano tuu!!!hapa nna kitenge nasema nhiii!!!
Ndugu yangu ilikuwa afe.. Hardtop ilichomoka tyre na propeller shaft ikamtoa road akacheza nayo kwenye mapori umbali wa zaidi ya mita 100 mpaka ikagota kwenye mnazi bila kupinduka.. Tulikuwa nyuma yao umbali wa km 20 hivi
Hakuaga vizuri kwao nnNdugu yangu ilikuwa afe.. Hardtop ilichomoka tyre na propeller shaft ikamtoa road akacheza nayo kwenye mapori umbali wa zaidi ya mita 100 mpaka ikagota kwenye mnazi bila kupinduka.. Tulikuwa nyuma yao umbali wa km 20 hivi
Kweli kila mtu na sekta yake hapo ulipozungumzia solo ikanijia taswira ya gitaaYaani nikitaka solo najitoa tu kafara na pisi 3 au w kwa solo fupi. Otherwise nabaki na shift zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi gari haikukazwa huko chini ndio maana haya yametokea
Ni kweli Salimeti ila huwa tunatania tu hii boxing day tuliofungua milango home badala ya zawadi. Wote tuna faida mbele za Mungu.🤔Asante kwa ufafanuzi. Lakini siyo kweli eti usipopewa zawadi ndo huna faida. Faida unajipa mwenyewe tu na Mungu wako. Kutegemea kupewa faida na wanadamu ni kujiweka mtegoni kisaikolojia ila nimekuelewa sana!
Happy New Year soulimeti
Tena ex wa primary😂 unataka turudiane?