Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Jioni mjini, asubuhi na mchana home..
Teh teh ni nani huyo anayesubiri picha yako tumpe kitanda akalale au tumchimbie kaburi kabisa tumzike tu![]()





Ukiweka picha uwe una nitag sawaHahahaaa...one day yes!
Hivi coca ulisha wahiweka picha humu??Mpige story na picha jaman nyie wana selfila lol.![]()
Yan trending yake imekua kubwa sana siku hizi haswa kwa wadada....Siku hizi tena? Kofia za mpama zinavaliwa toka kitambo mbona?
Yes...sitoki humu yaniHahahaaa...! Unasubiria ya skin jeans sio!
🤣🤣🤣🤣🤣 Mbona imekaa sana almost 45 mins!Unafuta haraka mno. Yaani nimeacha simu kwenye mkweche wangu na kuingia dukani kununua K-Vant dakika 2 tu nakuta picha ilishawekwa na kufutwa. Siyo fair bana kha!
Jitahidi angalau iwe nusu saa hivi kabla hujafuta!![]()
Hahahaaa..ntakutagYes...sitoki humu yani
Itakuwa aliteleza sehemu siyo bure


Oohh labda. Mie binafsi ni mpenzi tu wa kofia tangu mdogo hasa kapero mizula na hizo.Yan trending yake imekua kubwa sana siku hizi haswa kwa wadada....
Nimesikitika sana yaani..ameteleza zote 2 kweli!Itakuwa aliteleza sehemu siyo bure![]()

Wewe huyo upo location na wanasubiri kweliNipo location, wait and see....




Hayo tuyaache...uko wapi nipo kizuiani hapaOohh labda. Mie binafsi ni mpenzi tu wa kofia tangu mdogo hasa kapero mizula na hizo.
U.T.I ni ugonjwa unaochukiza sanaWe njoo hahaha View attachment 2051645