Nikiweka haya yafutayo itakuwa wew ndiye wasema.
Mwanzo 1
26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Zaburi 115
16 Mbingu ni mbingu za Bwana, Bali nchi amewapa wanadamu.