Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaa, mm nahisi una majibu mengi. Tu
Hapana mimi ninachojua ni kwamba binadamu ni mtu yeyote yule maana yake ni kwamba anaweza kuwa mwanaume au mwanamke na ndiyo maana nikakurekebisha ile kauli yako sasa wewe unayesema kwamba binadamu ni mwanaume tu ndiyo uniambie mwanamke ni nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…