Selfika na JF: Snap it. Show it

IMEKUWA KATIKA JINA LA BWANA.
 
Kwanza namuogopa kama huyo ndio mjukuu wako na mkono huo!! Sina shida nae. Nilikuwa naongelea yale makofi ya mahaba! Sio ya penzi korofi

 
Nilichanganya madesa kidogo. Nilifikiri unamwongelea mjukuu wangu. Nilipong'amua kosa langu nimerudi na kurekebisha post yangu...

Yote kwa yote nakushauri uepuke makofi ya aina yo yote mpaka utakapopona sawasawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…