Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nitashukuru zaidi ukiniwekea za voda mkuu maana hao vifurushi vyao ndiyo vinanipa stress


Ila huwezi amini nina zaidi ya mwaka sasa sijatumia vocha za karatasi hadi nishasahau kama zipo
Na ndoyo sababu nazileta hapa ili usisahau kabisa kama utabahatika maana si wewe tu watu wengi siku hizi tunajiunga vifurushi vya muda mrefu ama kununua vocha kwa kutumia miamala ya pesa laini
 
Na ndoyo sababu nazileta hapa ili usisahau kabisa kama utabahatika maana si wewe tu watu wengi siku hizi tunajiunga vifurushi vya muda mrefu ama kununua vocha kwa kutumia miamala ya pesa laini
Sure mkuu maana unaweza ukajikuta umeishiwa kifurushi muda/sehemu ambao/ambapo huwezi kununua vocha na una hela kwenye simu hivyo inabidi umalize tu juu kwa juu. So hii imenifanya nishazoea hata ambapo nina uwezo wa kununua vocha za makaratasi sinunui tena bali najiungia kwenye simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…