Selfika na JF: Snap it. Show it

5 basics of Kung Fu
1.focus
2.control
3.power
4.flexibiliy
5.speed

Wakuu tufanye mazoezi,ndy msingi Bora wa afya zetu.
Mr Kijana wa hovyo hovyo siyo unakula bata Tu ukashindwa kumlinda Depal incase kuna emergency imetokea kwenye harakati zenu za Kula bata ,jitahidi basi hata ujue namna ya kupoozesha punches wakati wa mashambulizi makali

 
Dah! Mie cha moto kinanitosha mkuu, umri ungekuwa haujaenda sana ningekuja asee nipashe pashe hiyo hata kwenye game unakuwa mkalii ee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…