Selfika na JF: Snap it. Show it

Shida na Raha mkuu wangu haipo siku hizi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, tuta fail hapo. Tutalala na njaaa acha mie niende na Depal wangu asee
Basi wacha niendelee kupambania kombe kwanza Hadi nitoboe

Kwanza kumiliki warembo km hawa kina mahondaw unahitaji ujipange kiuchumi vinginevyo utaishiwa kugongewa Tu na wenye nazo πŸ˜… (sizitaki mbichi hizi)
 
Tatizo manenooo mtu anaeza kukutamkia maneno matamu matam unajiona wewe ndio wewe the whole world maneno matamuuuuu...vitendo sasa!!!!! Ngachoka!!
 
Tatizo manenooo mtu anaeza kukutamkia maneno matamu matam unajiona wewe ndio wewe the whole world maneno matamuuuuu...vitendo sasa!!!!! Ngachoka!!
Hapo kwenye maneno matamuMimi sijakutamkia maneno yoyote matamu zaidi ya kukuambia ukweli kwamba ninapambana kuzisaka

Sisi watoto wa mtaa tuko real,hatuna kupakapaka maneno rangi na blah blah kibao,Sisi tunachojua ni kupenda Tu😎..maneno matamu na zawadi za Maua nawaachia kina .... Wa kishua πŸ˜…
 
Nimesemea generally.. huwezi kupingana na nature nowdays tunavumilia tu hatuna namna!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…