Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,874
Mimi sipendi night shift mkuu,basi Tu natafuta maishakweli naona mpo mzigoni, safi sana kazi za night, umenikumbusha mbali sana, nilikuwa napenda sana night shift, zina raha yake
Najua wanyakyusa mpo vizuri..alafu mna miguu ya bia km wagogo..hebu tupia picha niuone mguu wakoNani amekudanganya?
Uliona wapi mnyakyusa mzuri?Najua wanyakyusa mpo vizuri..alafu mna miguu ya bia km wagogo..hebu tupia picha niuone mguu wako
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ninafanya kazi na watu wa hukoUliona wapi mnyakyusa mzuri?
Mkuu unataka tuweke humu shepu zetu kama kabati?
Kuona ni kuamini..weka tuoneπMkuu unataka tuweke humu shepu zetu kama kabati?
Depal ni wa T 1990 ELY msiniingize kwenye ugomvi na mtu πππππ aseee sie tuendelee kupambana na hali zetuKuhusu Depal mkuu usiseme hivyoooo!!
Roho inauma,Mimi nanyeshewa mvua na night shift wewe mtoto kalalia kifua
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Night shift nilichokuwa napendea ni ile watu wanakuona daily unazagaa mtaani ila mwisho wa mwezi huombi kitu kwa mtu πππMimi sipendi night shift mkuu,basi Tu natafuta maisha
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Niliona kwenye Uzi wa BMW Vs LC kule unapiga ndogondogo Kwa financial services Ila extrovert akaja kukurushia njiwa wakoDepal ni wa T 1990 ELY msiniingize kwenye ugomvi na mtu πππππ aseee sie tuendelee kupambana na hali zetu
Jamaa anatibua maji πππ, shida mkuu hatuna pesa.. kama pesa ingekuwepo mbona na sie tungekuwa nao.. acha tuzisake tu na sie tutapata wa kufanana na sie, ila sema ka Depal ni ka kisu sema ndio ivyo kama wahiwaaa π πNiliona kwenye Uzi wa BMW Vs LC kule unapiga ndogondogo Kwa financial services Ila extrovert akaja kukurushia njiwa wako
Bora Mimi sina hata tamaa ya kuwapenda wakina Depal na Saint Anne wa jf maana sina gari sina nyumba wala sina kazi ya maanaπ€£..sitaki hata shobo ya kusogeza pua yangu PM πJamaa anatibua maji πππ, shida mkuu hatuna pesa.. kama pesa ingekuwepo mbona na sie tungekuwa nao.. acha tuzisake tu na sie tutapata wa kufanana na sie, ila sema ka Depal ni ka kisu sema ndio ivyo kama wahiwaaa π π
Imani ni kuwa na hakika ya mambo hata yasiyoonekanaKuona ni kuamini..weka tuone
Bora yako wewe mkuu wangu, mie hata PM yangu nimeifumga miaka na miaka haifanyagi kazi, sizogezi pua kwa mtu na sitaki mtu asogeze pua yake ππππ ila tutaboa mzee mwenzanguBora Mimi sina hata tamaa ya kuwapenda wakina Depal na Saint Anne wa jf maana sina gari sina nyumba wala sina kazi ya maanaπ€£..sitaki hata shobo ya kusogeza pua yangu PM π
Sio kweli, πππ Imani ni product ya Neno, na Neno ni tangible kitu kama tangible kinaonekana sema kinaonekanaje.. na nje ya Neno hakuna imani.. How you see Jesus , na ndivyo imani yako itavyo kuwa, kama hujamuona Yesu kamwe ni ngumu kuwa na imani, Yesu anaonekana yes, how πππππImani ni kuwa na hakika ya mambo hata yasiyoonekana
watu wa Dar mnakula sana maisha
True!!! Watu wanakula sana maisha πwatu wa Dar mnakula sana maisha
Mbona unajitoa mkuu... nikihamia dar na mie nitakuwa kama wa dar, sio kwa bata hizoTrue!!! Watu wanakula sana maisha π
Mr. Bima unawatongoza wengine huku? Umeniachaππ nije nifate funguo?Jamaa anatibua maji πππ, shida mkuu hatuna pesa.. kama pesa ingekuwepo mbona na sie tungekuwa nao.. acha tuzisake tu na sie tutapata wa kufanana na sie, ila sema ka Depal ni ka kisu sema ndio ivyo kama wahiwaaa π π