Selfika na JF: Snap it. Show it

Milele amina

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
 
Kwanini tuki' concentrate mawinguni tunaona imagine flani ?
Unaona kile ambacho ubongo wako umezoea kukiona. Na kwa binadamu image ya kwanza inayomjia akilini akitazama ombweni ni uso wa binadamu. Kila anakotazama anategemea kuona sura ya binadamu...ndiyo maana hata akimulika makamera yake huko kwenye sayari na ma-galaxy mengine huko kitu cha kwanza anachokiona ni sura ya binadamu. Binadamu anafikiri hata Mungu mwenyewe ana sura ya binadamu!
 
kumbe MUNGU ana Sura ya nini km siyo binadamu?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…