Hivi kumbe bado mnasuka!hakyanani siku hiyo nimeenda saloon nikamkosa msusi,nikarudi tena hayupo.wooooohiii nikaenda kuzikatilia mbali na zilikuwa natural hair halafu ndefu
Jikubali vile ulivyo. Hakuna aliejiumba bana. Halafu unaweza kukuta unajishtukia mwenyewe tu ila watu wala hawajali. God created you perfectly, hajakosea detail yoyote.
Ila nywele zinauma kuchangamsha aisee,hasa kipilipili kama changu,
Halafu usiombe asubuhi uwe na haraka.
Kuosha,kukausha,kuchana yaani ni shughuli pevu.